Tunakimbilia


Tunakimbilia, Ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, Usitunyime tukiomba katika shida zetu, Utuokoe siku zote kila tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu na mwenye Baraka.

Amina

Comments

Popular posts from this blog

Litania Ya Huruma ya Mungu

LITANIA KWA MT RITA WA KASHIA

Kusali Rozari Nzima: Maana, Faida, na Jinsi ya Kusali