NOVENA YA MT RITA WA KASHIA YA SAA 15 (SAA 1- SAA 8)
MAALUM KATIKA SHIDA KUBWA
*SAA LA KWANZA*
(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote
15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita
aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua
Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko
MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya
kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt Rita, siwezi kujinasua na
shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi yasiyokoma mbele ya Altare ya
Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni
Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa
njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA PILI*
(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote
15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita
aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua
Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko
MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya
kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt Rita, siwezi kujinasua na
shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi yasiyokoma mbele ya Altare ya
Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni
Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa
njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA TATU*
(Sali
Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za
Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la
uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee
Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili
awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba
kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila
maombezi yako Ee Mt Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi
uniombee kwa machozi yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu
hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote
yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba
yetu x 3
Salamu
Maria x 3
Atukuzwe
x 3
*SAA
LA NNE*
(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt
Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi
yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA TANO*
(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA SITA*
(Sali Novena hii kila saa.
Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka
15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake
mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi,
huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa
wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt
Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi
yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe
kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa
akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA SABA*
(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake
yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
*SAA LA NANE*
(Sali Novena hii kila saa.
Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka
15 ambayo Mt Rita aliishi na kidonda Katika Paji la uso wake Hadi kifo chake
mwaka 1457)
Ee Mungu chemichemi, huruma na msamaha ulimteua Mtumishi wako Rita wa Kashia ili awe mwombezi wa wote walio katika mahangaiko MAKUBWA.
Nakuomba kwa maombezi yake yenye nguvu, neema ya kuondokana na shida hii KUBWA
*( hapa taja shida yako )*
Bila maombezi yako Ee Mt
Rita, siwezi kujinasua na shida hii KUBWA. Nakusihi uniombee kwa machozi
yasiyokoma mbele ya Altare ya Mungu huko Mbinguni
Mungu hakukatalii wewe kitu chochote kwani wewe ni Mtakatifu na mwombezi wa yote yaliyoshindikana kwa akili za kibinadamu. Kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
Amina.
Baba yetu x 3
Salamu Maria x 3
Atukuzwe x 3
Comments
Post a Comment