Baba Yetu


Baba yetu uliye mbinguni

Jina lako litukuzwe

Ufalme wako ufike

Utakalo lifanyike

Duniani kama mbinguni

Utupe leo mkate wetu wa kila siku

Utusamehe makosa yetu

Kama tunavyowasamehe

Na sisi waliotukosea

Usitutie katika kishawishi

Lakini utuopoe maovuni.

Comments

Popular posts from this blog

Litania Ya Huruma ya Mungu

LITANIA KWA MT RITA WA KASHIA

Kusali Rozari Nzima: Maana, Faida, na Jinsi ya Kusali