Amri za Kanisa


1. Hudhuria Misa takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.


2. Funga siku ya Jumatano ya majivu, usile nyama siku ya Ijumaa kuu.


3. Ungama dhambi zako zote walau mara moja kila mwaka.


4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka.


5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka.


6. Shika sheria Katoliki za ndoa.

Comments

Popular posts from this blog

Litania Ya Huruma ya Mungu

LITANIA KWA MT RITA WA KASHIA

Kusali Rozari Nzima: Maana, Faida, na Jinsi ya Kusali