Amri 10 za Mungu



1. Ndimi Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine.


2. Usilitaje bure jina la Mungu wako.


3. Shika kitakatifu siku ya Mungu.


4. Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.


5. Usiue.


6. Usizini,


7. Usiibe.


8. Usiseme uongo.


9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.


10. Usitamani mali ya mtu mwingine.

Comments

Popular posts from this blog

Litania Ya Huruma ya Mungu

LITANIA KWA MT RITA WA KASHIA

Kusali Rozari Nzima: Maana, Faida, na Jinsi ya Kusali